Wednesday, April 02, 2008

TMK KING SIR NATURE LIVEEEE!!!

Hapa ilikuwa Diamond Jubilee miezi michache iliyopita Juma Nature na Wanaume Halisi Click wakikamua kama kawaida...Kama ulikuwa hujui ni Juma Nature, na Kundi la Daz Nundaz pekee walioweza kujazaga ukumbi wa Diamond jubilee mpaka mahali ya kusimama pakakosekana,So ninaposema kuwa ni Mfalme najua utakuwa unanielewa...Huyu ni Sir Juma Nature mwanaume halisi kutoka Temeke...Come to Diamond Jubilee on 11st April,2008 and Lets Support Wanaume Halisi Pamoja!!!

1 comment:

Anonymous said...

wewe hao wanaume wako hamna kitu kwanza so far hamna nyimbo ya maana walioyoimba hao ni kama yanga kwa simba au liverpool kwa manutd au chelsea kwa fernabache watabonyea tu likipigwa DAR mpk moro ukumbi wote utarindima kwa shangwe na hiyo ndo itakuwa moja bila tumegundua mdau wewe ni wanaume halisi mbona habari za kina mh temba hatuzioni???????????????????????????