skip to main |
skip to sidebar
PAMOJA NA MIZENGWE FEISAL NI MKALI BSS-2008
Anaitwa Feisal Esmail mmoja kati ya washiriki wa Bongo Star Search mwaka huu,ana kipaji kubwa cha kuimba na kufoka foka(Rapping) Lakini mizengwe ndio iliyotumika kumfanya ashindwe katika shindano hilo la BSS.
No comments:
Post a Comment