Anaitwa Feisal Esmail mmoja kati ya washiriki wa Bongo Star Search mwaka huu,ana kipaji kubwa cha kuimba na kufoka foka(Rapping) Lakini mizengwe ndio iliyotumika kumfanya ashindwe katika shindano hilo la BSS.
Simple,fun likes likes friends who are real,no time for beefs...Napenda sana muziki na kupenda sana kucheza na watoto hasa watoto yatima so that they can feel that the society loves them...Pamoja we can make some changes,So i invite you all to enjoy all in this hottest blog.
No comments:
Post a Comment