Thursday, January 07, 2010

KITAANI VOL 1 YA DUKE TACHEZ HII HAPA!!!




Kitaani volume 1, ni mixtape iliyosheheni wasani wakali kama Fid Q, Jay Moe, Chidi Beenz, Witness, Solo Thang na wengine wengi wakali toka Lebo ya M LAB iliyopo kinondoni mitaa ya Biafra.Compilation cd hiyo kali inapatikana kupitia


+255 714 884342.

CD inauzwa sh 5,000/=

Lets support this project.

Pamoja sana.

No comments: