Sunday, December 27, 2009
NI YANGA FC BINGWA WA TUSKER 2009
YANGA FC jana walihitimisha ushindi wao kwa kuwafunga mabingwa wa kenya Sofapaka Fc kwa magoli 2-1 na kuifanya kubakisha kombe la Tusker hapa Tanzania.Yanga ikiwa chini ya kocha wao mpya Kostadic Papic wameweza kuonyesha mpira mzuri wenye kasi na umakini sana katika mechi zao zote.
Hongera sana wana Yanga kwa Ubingwa!!!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment