Tuesday, July 28, 2009

WANAFUNZI WA SHABAN ROBERT WAFANYA MAMBO!!!


Wanafunzii wapatao 50 wanaosoma katika vidato mbali mbali ndani ya Shaaban Robert Secondary School, waliweza kupagawisha wanafunzi wenzao, ndugu, jamaa na wazazi kadhaa waliojitokeza kushuhudia usiku wa vipaji siku ya jumamosi ya tarehe 18 mwezi wa 7 2009 katika ukumbi wa sherehe wa shule hiyo

PICHA KWA HISANI YA BONGO 5.COM

No comments: