Saturday, July 25, 2009

LEO NDIO LEO ..ZHONG HUA GARDEN...WENGE MUSICA SPECIAL

Ebwana eeh ka wale vijana wa enzi zetu enzi za Wenge musica,enzi za Tazara ,enzi za Silent inn club mwenge na wengineo wengi leo ni leo maana Dj Rankim ramadhana atawasha moto mkali sana kwa kukumbusha watu enzi zile za kundi hili ambalo liliweza kuweka historia kubwa africa kama The jackson 5...tukutane pale leo jioni kama kawa tupate burudani za ukweli.....wadau

No comments: