Saturday, June 06, 2009

HAWA NI MASSAWE NA KIMARIO AKA AY & FA

Hayo majina hapo wanayoitwa maana yake ni kwamba katika muziki wetu hapa bongo hawa ni kama wachaga katika biashara thats wana focus kwenye mafanikio na kutengeneza hela hela zaidi ya maneno mengi na bifu za kijinga ....big up guys im supporting you full.....

No comments: