 Richie One akifanya makamuzi ya kufa mtu kuendeleza mchaka mchaka wa Tatu bila mikoani akiwa na kundi lake la The Wanaume halisi...hii ilikuwa uwanja wa Jamhuri Morogoro...Ni kama Richie One anawauliza washabiki aibu yetu aibu yaoooo....aibu yao wenyewe Tatu bila hapa!!!
Richie One akifanya makamuzi ya kufa mtu kuendeleza mchaka mchaka wa Tatu bila mikoani akiwa na kundi lake la The Wanaume halisi...hii ilikuwa uwanja wa Jamhuri Morogoro...Ni kama Richie One anawauliza washabiki aibu yetu aibu yaoooo....aibu yao wenyewe Tatu bila hapa!!!
Saturday, April 26, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
 
 
 
No comments:
Post a Comment