Friday, July 17, 2009

REMEMBER DEPLOMATZ...STIGO

He goes with the name Stigo mmoja kati wa vijana wa kundi la Deplomatz enzi za Tambaza....duuu long tyme sana....huyu jamaa ndio prodyuza anyefanya album ya kumi ya Sugu aka Mr 2 itakaitwa VETO huko Mtoni....waiting for new touchez Stigo...

No comments: