Thursday, July 16, 2009

COWBOI NGWEA AJA NA CNN...TOKA BONGO RECORDZ

He goes by the name Cowboi aka Ngwea a simple man but balaa,amekuja na ujio mpya wa Bongo Recordz chini ya kichwa mahiri cha Hip hop hapa bongo nowadays Producer Q...ebwana huo wimbo umesimama sana maana Ngwea amebadilika sana kwa ku rap na kuimba...

Big up to mwana chemba na tundelee kukesha kama CNN,speed zaidi ya KLM na kula bata kama kawa!!!!

No comments: