Wednesday, June 17, 2009

VODACOM WASHEREKEA SIKU YA MTOTO WA AFRICA PALE CHAKUWAMA- SINZA

Mdau akitoa shukrani kwa watoto wa chakuwama....
Wadau wa Vodacom wakiwa wamepozi jana kituoni Chakuwama....
Mmoja kati ya watoto wa Chakuwama akipozi kwa picha jana mchana.
Pichani ni mdau wa blog hii pamoja na mtoto mrembo wa pale Chakuwama jana...it was full of fun.
Watoto wakifurahia mambo ya vodacom jana pale kituoni....

No comments: